Kumbukumbu la Torati 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+ Kumbukumbu la Torati 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye Ndiye mnayepaswa kumsifu.+ Yeye ni Mungu wenu, ambaye amewafanyia mambo haya makuu na yenye kuogopesha mliyoyaona kwa macho yenu wenyewe.+
12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+
21 Yeye Ndiye mnayepaswa kumsifu.+ Yeye ni Mungu wenu, ambaye amewafanyia mambo haya makuu na yenye kuogopesha mliyoyaona kwa macho yenu wenyewe.+