1 Samweli 15:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi neno la Yehova likamjia Samweli: 11 “Ninasikitika* kwamba nimemweka Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata naye hajatekeleza maneno yangu.”+ Samweli akakasirika sana, akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+
10 Basi neno la Yehova likamjia Samweli: 11 “Ninasikitika* kwamba nimemweka Sauli kuwa mfalme, kwa sababu ameacha kunifuata naye hajatekeleza maneno yangu.”+ Samweli akakasirika sana, akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+