1 Samweli 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku alipokufa, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea Sauli.+ Yehova akaghairi kwamba alikuwa amemweka Sauli kuwa mfalme wa Israeli.+
35 Samweli hakumwona Sauli tena mpaka siku alipokufa, kwa maana Samweli alikuwa akimwombolezea Sauli.+ Yehova akaghairi kwamba alikuwa amemweka Sauli kuwa mfalme wa Israeli.+