1 Samweli 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha akaagiza kabila la Benjamini likaribie kulingana na koo zao, basi ukoo wa Wamatri ukachaguliwa. Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Lakini walipoenda kumtafuta, hawakumpata. 1 Samweli 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi wakakimbia na kumleta kutoka mahali hapo. Aliposimama katikati ya watu, alikuwa mrefu kuliko watu wote nao walimfikia mabegani.+
21 Kisha akaagiza kabila la Benjamini likaribie kulingana na koo zao, basi ukoo wa Wamatri ukachaguliwa. Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Lakini walipoenda kumtafuta, hawakumpata.
23 Basi wakakimbia na kumleta kutoka mahali hapo. Aliposimama katikati ya watu, alikuwa mrefu kuliko watu wote nao walimfikia mabegani.+