1 Samweli 24:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mfalme wa Israeli ametoka kumtafuta nani? Unamfuatia nani? Mbwa aliyekufa? Kiroboto mmoja?+ 2 Samweli 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ akutukane bwana wangu mfalme?+ Tafadhali niruhusu nivuke, nikamkate kichwa.”+ 2 Wafalme 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hazaeli akasema: “Mimi mtumishi wako, ambaye ni mbwa tu, ninawezaje kufanya jambo kama hilo?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha kwamba wewe utakuwa mfalme wa Siria.”+
9 Ndipo Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ akutukane bwana wangu mfalme?+ Tafadhali niruhusu nivuke, nikamkate kichwa.”+
13 Hazaeli akasema: “Mimi mtumishi wako, ambaye ni mbwa tu, ninawezaje kufanya jambo kama hilo?” Lakini Elisha akasema: “Yehova amenionyesha kwamba wewe utakuwa mfalme wa Siria.”+