1 Samweli 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese na kumwambia: “Mtume mwana wako Daudi aje kwangu, yule anayechunga kondoo.”+ 1 Samweli 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa hiyo Daudi akafika kwa Sauli na kuanza kumtumikia.+ Sauli akampenda sana, naye Daudi akawa akimbebea silaha zake.
19 Ndipo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese na kumwambia: “Mtume mwana wako Daudi aje kwangu, yule anayechunga kondoo.”+
21 Kwa hiyo Daudi akafika kwa Sauli na kuanza kumtumikia.+ Sauli akampenda sana, naye Daudi akawa akimbebea silaha zake.