Kutoka 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Unapaswa kunifanyia sherehe mara tatu kwa mwaka.+ 1 Samweli 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwaka baada ya mwaka mwanamume huyo alitoka katika jiji lake na kupanda kwenda Shilo kumwabudu* na kumtolea dhabihu Yehova wa majeshi.+ Wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walitumikia huko wakiwa makuhani wa Yehova.+ 1 Samweli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya muda Elkana akaenda pamoja na familia yake yote kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na pia dhabihu yake ya nadhiri.
3 Mwaka baada ya mwaka mwanamume huyo alitoka katika jiji lake na kupanda kwenda Shilo kumwabudu* na kumtolea dhabihu Yehova wa majeshi.+ Wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walitumikia huko wakiwa makuhani wa Yehova.+
21 Baada ya muda Elkana akaenda pamoja na familia yake yote kumtolea Yehova dhabihu+ ya kila mwaka na pia dhabihu yake ya nadhiri.