1 Samweli 1:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nilisali nipate mvulana huyu, naye Yehova akanipa nilichoomba.+ 28 Sasa nami pia, ninamkabidhi Yehova mvulana huyu. Siku zake zote, amekabidhiwa kwa Yehova.” Naye* akainama chini mbele za Yehova.
27 Nilisali nipate mvulana huyu, naye Yehova akanipa nilichoomba.+ 28 Sasa nami pia, ninamkabidhi Yehova mvulana huyu. Siku zake zote, amekabidhiwa kwa Yehova.” Naye* akainama chini mbele za Yehova.