-
1 Samweli 19:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Sauli akamsikiliza Yonathani na kuapa hivi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, hatauawa.”
-
-
1 Samweli 19:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Sauli akajaribu kumpigilia Daudi ukutani kwa mkuki, lakini akamkwepa Sauli, na mkuki huo ukapenya ukutani. Daudi akakimbia na kutoroka usiku huo.
-