1 Samweli 23:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Sauli akaacha kumfuatia Daudi,+ akaenda kukabiliana na Wafilisti. Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Mwamba wa Migawanyiko. 29 Kisha Daudi akapanda kutoka huko na kwenda kukaa katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule En-gedi.+
28 Ndipo Sauli akaacha kumfuatia Daudi,+ akaenda kukabiliana na Wafilisti. Ndiyo sababu mahali hapo paliitwa Mwamba wa Migawanyiko. 29 Kisha Daudi akapanda kutoka huko na kwenda kukaa katika sehemu ambazo hazifikiki kwa urahisi kule En-gedi.+