1 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.” Zaburi 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ee Yehova, itetee kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu;+Pigana na wale wanaopigana nami.+
15 Yehova na awe mwamuzi, atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kunitetea na kuamua kesi yangu+ na kuniokoa kutoka mikononi mwako.”