1 Samweli 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi Elkana akaenda nyumbani kwake Rama, lakini yule mvulana akawa mhudumu wa* Yehova+ chini ya uangalizi wa kuhani Eli. 1 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa amevaa* efodi ya kitani,+ ingawa alikuwa mvulana tu.
11 Basi Elkana akaenda nyumbani kwake Rama, lakini yule mvulana akawa mhudumu wa* Yehova+ chini ya uangalizi wa kuhani Eli.
18 Basi Samweli alikuwa akihudumu+ mbele za Yehova, akiwa amevaa* efodi ya kitani,+ ingawa alikuwa mvulana tu.