1 Samweli 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,*+ na kutenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na ibada ya sanamu.* Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ yeye pia amekukataa usiwe mfalme.”+ 1 Samweli 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa roho ya Yehova ilikuwa imemwacha Sauli,+ na roho mbaya kutoka kwa Yehova ilikuwa ikimtesa.+
23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,*+ na kutenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na ibada ya sanamu.* Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ yeye pia amekukataa usiwe mfalme.”+