-
1 Mambo ya Nyakati 12:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Baadhi ya watu wa kabila la Manase walitoroka pia na kujiunga na Daudi alipokuja pamoja na Wafilisti kupigana na Sauli; lakini hakuwasaidia Wafilisti, kwa sababu baada ya watawala wa Wafilisti+ kushauriana, walimfukuza wakisema: “Atatoroka na kwenda kwa Sauli bwana wake, na jambo hilo litahatarisha vichwa vyetu.”+
-