1 Samweli 27:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Akishi alipokuwa akimuuliza: “Ulivamia wapi leo?” Daudi alimjibu: “Upande wa kusini wa* Yuda”+ au “Upande wa kusini wa Wayerahmeeli”+ au “Upande wa kusini wa Wakeni.”+ 1 Mambo ya Nyakati 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wana waliozaliwa na Hezroni walikuwa Yerahmeeli,+ Ramu,+ na Kelubai.*
10 Na Akishi alipokuwa akimuuliza: “Ulivamia wapi leo?” Daudi alimjibu: “Upande wa kusini wa* Yuda”+ au “Upande wa kusini wa Wayerahmeeli”+ au “Upande wa kusini wa Wakeni.”+