1 Samweli 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova akamkazia uangalifu Hana, ili aweze kupata mimba;+ basi akazaa wana watatu zaidi na mabinti wawili. Naye mvulana Samweli akaendelea kukua mbele za Yehova.+
21 Yehova akamkazia uangalifu Hana, ili aweze kupata mimba;+ basi akazaa wana watatu zaidi na mabinti wawili. Naye mvulana Samweli akaendelea kukua mbele za Yehova.+