-
1 Mambo ya Nyakati 11:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Baadaye Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu, yaani, Yebusi,+ ambako Wayebusi+ walikuwa wakiishi. 5 Wakaaji wa Yebusi walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe!”+ Hata hivyo, Daudi aliiteka ngome ya Sayuni,+ ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+ 6 Kwa hiyo Daudi akasema: “Yeyote atakayekuwa wa kwanza kuwashambulia Wayebusi atakuwa kiongozi* na mkuu.” Basi Yoabu+ mwana wa Seruya akawa wa kwanza kupanda huko kuwashambulia, akawa kiongozi.
-