-
1 Mambo ya Nyakati 11:7-9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo. Ndiyo sababu waliiita Jiji la Daudi. 8 Akaanza kujenga jiji hilo pande zote, kuanzia kwenye Kilima* mpaka kwenye maeneo yanayozunguka, na Yoabu akajenga upya sehemu zilizobaki za jiji hilo. 9 Kwa hiyo Daudi akawa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova wa majeshi alikuwa pamoja naye.
-