5Mfalme Hiramu wa Tiro+ aliposikia kwamba Sulemani ametiwa mafuta kuwa mfalme baada ya baba yake, aliwatuma watumishi wake kwa Sulemani, kwa maana sikuzote Hiramu alikuwa rafiki ya Daudi.*+
8 Basi Hiramu akampelekea Sulemani ujumbe huu: “Nimepokea ujumbe ulionitumia. Nitatimiza mambo yote unayotaka ili upate mbao za mierezi na za miberoshi.+