2 Samweli 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+ Zaburi 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa njia hii nitajua kwamba unapendezwa nami: Adui yangu asipoweza kupaza sauti kwa ushindi dhidi yangu.+ Zaburi 89:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mkono wangu utamtegemeza,+Na mkono wangu utamwimarisha.
16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+
11 Kwa njia hii nitajua kwamba unapendezwa nami: Adui yangu asipoweza kupaza sauti kwa ushindi dhidi yangu.+