3 Mwaka baada ya mwaka mwanamume huyo alitoka katika jiji lake na kupanda kwenda Shilo kumwabudu* na kumtolea dhabihu Yehova wa majeshi.+ Wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walitumikia huko wakiwa makuhani wa Yehova.+
24 Jina lako na lidumu na kukwezwa+ milele, ili watu waseme, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, ni Mungu kwa Israeli,’ na nyumba yangu mimi mtumishi wako Daudi na iimarishwe kabisa mbele zako.+