Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+ Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake utadumu* milele;+Kiti chake cha ufalme kitadumu kama jua mbele zangu.+ Zaburi 132:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wako wakilishika agano languNa vikumbusho vyangu ninavyowafundisha,+Wana wao piaWataketi kwenye kiti chako cha ufalme milele.”+
12 Wana wako wakilishika agano languNa vikumbusho vyangu ninavyowafundisha,+Wana wao piaWataketi kwenye kiti chako cha ufalme milele.”+