Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baada ya muda Waamoni wakaona kuwa wananuka mbele ya Daudi, kwa hiyo wakawatuma wajumbe waende kuwakodi Wasiria wa Beth-rehobu + na Wasiria wa Soba,+ wanajeshi 20,000 wanaotembea kwa miguu; na mfalme wa Maaka+ akiwa na wanaume 1,000; na kutoka Ishtobu,* wanaume 12,000.+

  • 1 Wafalme 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mungu akatokeza pia mtu mwingine wa kumpinga Sulemani,+ yaani, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake, Hadadezeri+ mfalme wa Soba.

  • Zaburi 60:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi; umepatanishwa na mtindo wa “Yungiyungi la Kikumbusho.” Miktamu.* Wa Daudi. Wa kufundisha. Alipopigana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, kisha Yoabu akarudi na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki