1 Mambo ya Nyakati 19:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kisha Yoabu na wanaume wake wakasonga mbele kwenda kupigana vita na Wasiria, nao wakamkimbia.+ 15 Waamoni walipoona kwamba Wasiria wamekimbia, wakamkimbia pia Abishai ndugu yake na kuingia jijini. Baada ya hayo, Yoabu akarudi Yerusalemu.
14 Kisha Yoabu na wanaume wake wakasonga mbele kwenda kupigana vita na Wasiria, nao wakamkimbia.+ 15 Waamoni walipoona kwamba Wasiria wamekimbia, wakamkimbia pia Abishai ndugu yake na kuingia jijini. Baada ya hayo, Yoabu akarudi Yerusalemu.