12 Isitoshe, Absalomu alipotoa dhabihu, aliwatuma watu wamwite Ahithofeli+ Mgiloni, mshauri wa Daudi,+ kutoka jiji la Gilo.+ Njama iliendelea kupamba moto, na idadi ya watu waliomuunga mkono Absalomu ikaendelea kuongezeka.+
31 Kisha Daudi akaambiwa hivi: “Ahithofeli ni miongoni mwa watu wanaopanga njama+ pamoja na Absalomu.”+ Daudi akasema: “Ee Yehova,+ tafadhali badili ushauri wa Ahithofeli uwe upumbavu!”+