Zaburi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Inuka, Ee Yehova! Niokoe,+ Ee Mungu wangu! Kwa maana utawapiga maadui wangu wote kwenye utaya;Utayavunja meno ya waovu.+ Methali 24:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Nawe usishirikiane na waasi,*+22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+ Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+
7 Inuka, Ee Yehova! Niokoe,+ Ee Mungu wangu! Kwa maana utawapiga maadui wangu wote kwenye utaya;Utayavunja meno ya waovu.+
21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Nawe usishirikiane na waasi,*+22 Kwa maana msiba wao utatokea ghafla.+ Ni nani anayejua jinsi wote wawili* watakavyowaangamiza?+