-
1 Wafalme 2:8, 9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “Pia, Shimei mwana wa Gera, Mbenjamini, kutoka Bahurimu yuko pamoja nawe. Yeye ndiye aliyenitukana vikali+ siku niliyokuwa nikienda Mahanaimu;+ lakini aliposhuka kuja kunipokea kwenye Mto Yordani, nilimwapia hivi kwa jina la Yehova: ‘Sitakuua kwa upanga.’+ 9 Sasa usikose kumwadhibu,+ kwa maana wewe ni mtu mwenye hekima nawe unajua unalopaswa kumtendea; usimruhusu azeeke na kushuka Kaburini.”**+
-