-
2 Samweli 9:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli alipofika mbele ya Daudi, mara moja alianguka chini kifudifudi na kumwinamia. Daudi akasema: “Mefiboshethi!” naye akajibu: “Mimi hapa, mtumishi wako.”
-
-
2 Samweli 16:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Mfalme akamuuliza: “Na mwana wa bwana wako yuko wapi?”+ Siba akamwambia mfalme: “Yuko Yerusalemu, kwa maana alisema, ‘Leo nyumba ya Israeli itanirudishia utawala wa kifalme wa baba yangu.’”+ 4 Ndipo mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Siba akasema: “Nainama mbele yako. Acha nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”+
-