8Ndipo watu wa Efraimu wakamuuliza Gideoni, “Kwa nini umetutendea hivi? Kwa nini hukutuita ulipoenda kupigana na Wamidiani?”+ Nao wakamshutumu vikali.+
12Watu wa kabila la Efraimu wakaitwa, nao wakavuka na kufika Zafoni,* wakamuuliza Yeftha, “Kwa nini hukutuita ulipovuka kwenda kupigana na Waamoni?+ Tutakuteketeza pamoja na nyumba yako.”