1 Samweli 15:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Samweli alipokuwa akigeuka aende zake, Sauli akaushika upindo wa joho lake lisilo na mikono, lakini likararuka. 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye atampa mwenzako aliye bora kuliko wewe.+ Zaburi 78:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Alimchagua Daudi+ mtumishi wakeNa kumtoa katika mazizi ya kondoo,+ Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+
27 Samweli alipokuwa akigeuka aende zake, Sauli akaushika upindo wa joho lake lisilo na mikono, lakini likararuka. 28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua ufalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye atampa mwenzako aliye bora kuliko wewe.+
70 Alimchagua Daudi+ mtumishi wakeNa kumtoa katika mazizi ya kondoo,+ Zaburi 89:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nimempata Daudi mtumishi wangu;+Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta.+