Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Malaki 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini ninyi mnaoliheshimu* jina langu, jua la uadilifu litawaangazia likiwa na miale inayoponya;* nanyi mtaruka huku na huku kama ndama waliononeshwa.”

  • Mathayo 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sura yake ikageuka mbele yao; uso wake ukang’aa kama jua, na mavazi yake ya nje yakang’aa* kama nuru.+

  • Ufunuo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kwenye mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu, wenye makali pande mbili+ ulikuwa umechomoza, na sura yake ilikuwa* kama jua linapong’aa kabisa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki