2 Lakini ninyi mnaoliheshimu* jina langu, jua la uadilifu litawaangazia likiwa na miale inayoponya;* nanyi mtaruka huku na huku kama ndama waliononeshwa.”
16 Na kwenye mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu, wenye makali pande mbili+ ulikuwa umechomoza, na sura yake ilikuwa* kama jua linapong’aa kabisa.+