Mwanzo 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ila tu nyama pamoja na uhai wake*—damu yake+—hampaswi kula.+ Mambo ya Walawi 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
10 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwenu akila damu yoyote ile,+ kwa hakika nitamkataa* mtu anayekula damu, nami nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.