2 Samweli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Daudi akamtuma mtu fulani aulize kuhusu mwanamke huyo, mtu huyo akamwambia: “Ni Bath-sheba,+ binti ya Eliamu;+ mke wa Uria+ Mhiti.”+ 1 Wafalme 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana Daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa kuhusiana na kisa cha Uria, Mhiti.+
3 Daudi akamtuma mtu fulani aulize kuhusu mwanamke huyo, mtu huyo akamwambia: “Ni Bath-sheba,+ binti ya Eliamu;+ mke wa Uria+ Mhiti.”+
5 Kwa maana Daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa kuhusiana na kisa cha Uria, Mhiti.+