1 Samweli 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma*+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa joho la Sauli lisilo na mikono. Waroma 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wao wenyewe wanaonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao, huku dhamiri yao ikiwatolea ushahidi, na kwa* fikira zao wenyewe wanashtakiwa au hata kutetewa.
5 Lakini baadaye moyo wa Daudi ukaendelea kumchoma*+ kwa sababu alikuwa amekata upindo wa joho la Sauli lisilo na mikono.
15 Wao wenyewe wanaonyesha kuwa yaliyomo katika sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao, huku dhamiri yao ikiwatolea ushahidi, na kwa* fikira zao wenyewe wanashtakiwa au hata kutetewa.