Zaburi 130:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ Hosea 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.* 1 Yohana 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+
2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.*
9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+