Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 130:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*

      Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+

  • Hosea 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,

      Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,

      Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.*

  • 1 Yohana 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki