Zaburi 103:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+ Zaburi 119:156 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 156 Rehema zako ni nyingi, Ee Yehova.+ Nihifadhi hai kulingana na haki yako.
8 Yehova ni mwenye rehema na mwenye huruma,*+Si mwepesi wa hasira naye ana upendo mwingi mshikamanifu.*+