-
1 Mambo ya Nyakati 21:14, 15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Ndipo Yehova akaleta ugonjwa hatari+ Israeli hivi kwamba watu 70,000 miongoni mwa Waisraeli wakafa.+ 15 Zaidi ya hilo, Mungu wa kweli alimtuma malaika katika jiji la Yerusalemu ili kuliangamiza; lakini alipokuwa karibu kuliangamiza, Yehova akaona jambo hilo na kughairi* kwa sababu ya msiba huo,+ akamwambia malaika aliyekuwa akiwaangamiza watu: “Imetosha!+ Sasa shusha mkono wako.” Malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria nafaka wa Ornani+ Myebusi.+
-