2 Samweli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipowekwa kuwa mfalme, naye alitawala kwa miaka 40.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:26, 27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo Daudi mwana wa Yese alitawala Israeli yote, 27 alitawala Israeli kwa miaka 40. Alitawala huko Hebroni kwa miaka 7,+ na Yerusalemu kwa miaka 33.+
26 Kwa hiyo Daudi mwana wa Yese alitawala Israeli yote, 27 alitawala Israeli kwa miaka 40. Alitawala huko Hebroni kwa miaka 7,+ na Yerusalemu kwa miaka 33.+