-
1 Mambo ya Nyakati 16:39, 40Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
39 na kuhani Sadoki+ na makuhani wenzake walikuwa mbele ya hema la ibada la Yehova mahali pa juu kule Gibeoni+ 40 ili wamtolee Yehova kwa ukawaida dhabihu za kuteketezwa kwenye madhabahu ya dhabihu za kuteketezwa, asubuhi na jioni, na kufanya mambo yote yaliyoandikwa katika Sheria ya Yehova aliyowaamuru Waisraeli wafuate.+
-