1 Mambo ya Nyakati 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Sasa Mfalme Daudi akaliambia kutaniko lote: “Mwanangu Sulemani, ambaye Mungu amemchagua+ ni mchanga na hana uzoefu,*+ na kazi hii ni kubwa, kwa maana si hekalu* kwa ajili ya mwanadamu, bali ni kwa ajili ya Yehova Mungu.+ Yeremia 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+
29 Sasa Mfalme Daudi akaliambia kutaniko lote: “Mwanangu Sulemani, ambaye Mungu amemchagua+ ni mchanga na hana uzoefu,*+ na kazi hii ni kubwa, kwa maana si hekalu* kwa ajili ya mwanadamu, bali ni kwa ajili ya Yehova Mungu.+
6 Lakini nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Mimi sijui kuzungumza,+ kwa maana mimi ni mvulana* tu.”+