1 Wafalme 3:9, 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi nipe mimi mtumishi wako moyo mtiifu ili niwahukumu watu wako,+ nitofautishe mema na mabaya,+ kwa sababu ni nani anayeweza kuwahukumu watu hawa wako ambao ni wengi sana?”* 10 Ombi hilo la Sulemani lilimpendeza Yehova.+
9 Basi nipe mimi mtumishi wako moyo mtiifu ili niwahukumu watu wako,+ nitofautishe mema na mabaya,+ kwa sababu ni nani anayeweza kuwahukumu watu hawa wako ambao ni wengi sana?”* 10 Ombi hilo la Sulemani lilimpendeza Yehova.+