1 Wafalme 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini sasa Yehova Mungu wangu amenipumzisha pande zote.+ Hakuna yeyote anayenipinga na hakuna jambo lolote baya linalotendeka.+ 1 Mambo ya Nyakati 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tazama! Utazaa mwana+ atakayekuwa mtu wa amani,* nami nitampumzisha kutokana na maadui wake wote wanaomzunguka,+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,*+ nami nitawapa Waisraeli amani na utulivu katika siku zake.+ Zaburi 72:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.
4 Lakini sasa Yehova Mungu wangu amenipumzisha pande zote.+ Hakuna yeyote anayenipinga na hakuna jambo lolote baya linalotendeka.+
9 Tazama! Utazaa mwana+ atakayekuwa mtu wa amani,* nami nitampumzisha kutokana na maadui wake wote wanaomzunguka,+ kwa maana jina lake litakuwa Sulemani,*+ nami nitawapa Waisraeli amani na utulivu katika siku zake.+
7 Katika siku zake mwadilifu atasitawi,*+Na amani itakuwa nyingi+ mpaka mwezi utakapokuwa haupo tena.