15 Sasa bwana wangu tutumie ngano, shayiri, mafuta, na divai uliyotuahidi sisi watumishi wako.+ 16 Nasi tutakata miti kutoka Lebanoni,+ idadi yoyote unayohitaji, nasi tutakuletea magogo hayo yakiwa mafungu-mafungu ili yaelee baharini mpaka Yopa;+ nawe utayapeleka Yerusalemu.”+