10 Alijenga vyumba vya pembeni kuizunguka,+ kila chumba kilikuwa na kimo cha mikono mitano, navyo viliunganishwa kwenye nyumba hiyo kwa mbao za mierezi.
26 Pia kulikuwa na madirisha yenye viunzi ambavyo ukubwa wake ulipungua kutoka nje kwenda ndani+ na michongo ya mitende pande zote mbili za ukumbi, pia kwenye vyumba vya kando vya hekalu na vifuniko.