Kutoka 26:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Nawe utavifunika viunzi hivyo kwa dhahabu+ na kutengeneza pete za dhahabu ili zishikilie fito, na fito hizo utazifunika kwa dhahabu. 2 Mambo ya Nyakati 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aliifunika nyumba, maboriti, vizingiti, kuta zake, na milango yake kwa dhahabu;+ naye akachonga makerubi kwenye kuta zake.+
29 “Nawe utavifunika viunzi hivyo kwa dhahabu+ na kutengeneza pete za dhahabu ili zishikilie fito, na fito hizo utazifunika kwa dhahabu.
7 Aliifunika nyumba, maboriti, vizingiti, kuta zake, na milango yake kwa dhahabu;+ naye akachonga makerubi kwenye kuta zake.+