24 Milango ilikuwa na bawaba mbili zilizozunguka, bawaba mbili kwa kila mlango. 25 Kulikuwa na michongo ya makerubi na michongo ya mitende kwenye milango ya patakatifu, kama ile iliyokuwa ukutani.+ Pia kulikuwa na kifuniko cha mbao juu ya upande wa mbele wa ukumbi kwa nje.