3 Ukumbi+ wa mbele wa hekalu* ulikuwa na urefu* wa mikono 20, nao ulilingana na upana wa nyumba. Ulikuwa na kina cha mikono kumi kuanzia mbele ya nyumba.
48 Kisha akanileta kwenye ukumbi wa hekalu,+ naye akapima nguzo ya pembeni ya ukumbi, nayo ilikuwa mikono mitano upande mmoja na mikono mitano upande wa pili. Upana wa lango ulikuwa mikono mitatu upande mmoja na mikono mitatu upande wa pili.