3 Ukumbi+ wa mbele wa hekalu* ulikuwa na urefu* wa mikono 20, nao ulilingana na upana wa nyumba. Ulikuwa na kina cha mikono kumi kuanzia mbele ya nyumba.
4 Ukumbi wa mbele ulikuwa na urefu wa mikono 20, nao ulilingana na upana wa nyumba,* na kimo chake kilikuwa 120;* naye akafunika upande wa ndani kwa dhahabu safi.+