Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi akamfukuza mtu huyo, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni makerubi+ na upanga unaowaka uliokuwa ukizunguka mfululizo ili kuilinda njia ya kwenda kwenye mti wa uzima.

  • Kutoka 25:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nawe utatengeneza makerubi wawili wa dhahabu; utawatengeneza kwa nyundo kwenye miisho miwili ya kifuniko hicho.+

  • 1 Wafalme 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kisha akawaweka makerubi+ hao ndani ya chumba cha ndani zaidi cha nyumba hiyo.* Mabawa ya makerubi hao yalikunjuliwa hivi kwamba bawa la kerubi moja lilifika kwenye ukuta mmoja na bawa la kerubi mwingine lilifika kwenye ukuta wa pili, na mabawa yao yalipanuka kuelekea katikati ya nyumba hiyo, hivi kwamba yaligusana.

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Aliifunika nyumba, maboriti, vizingiti, kuta zake, na milango yake kwa dhahabu;+ naye akachonga makerubi kwenye kuta zake.+

  • Ezekieli 41:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Pia alipima sehemu ya juu ya mlango na sehemu ya ndani ya hekalu na nje na kuzunguka ukuta wote. 18 Kulikuwa na michongo ya makerubi+ na pia michongo ya mitende,+ kila mtende ulikuwa kati ya makerubi wawili, na kila kerubi alikuwa na nyuso mbili.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki