20 Kisha akachukua yale mabamba ya Ushahidi+ na kuyaweka ndani ya sanduku la Ushahidi,+ akatia fito+ kwenye pete za Sanduku hilo na kuweka kifuniko+ juu ya Sanduku hilo.+
5 Basi nikageuka na kushuka kutoka mlimani+ na kuyaweka mabamba hayo katika sanduku nililokuwa nimetengeneza, na yangali humo, kama Yehova alivyokuwa ameniamuru.